Ingia / Jisajili

Aulaye Mwili Wangu

Mtunzi: Stanslaus Mujwahuki
> Tazama Nyimbo nyingine za Stanslaus Mujwahuki

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 28,059 | Umetazamwa mara 44,138

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Aulaye mwili wangu nakuinywa damu yangu asema Bwana hukaa ndani yangu nami hukaa ndani yake x2

1.       Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu ana uzima wa milele

2.       Njoni enyi wenye njaa njoni enyi wenye kiu njoni kwangu niwabishe

3.       Aniaminiye mimi nakushika nisemayo nitamfufua siku ya mwisho

4.       Mlapo chakula hiki mnwapo kikombe hiki mwatangaza kifo cha Bwana


Maoni - Toa Maoni

Thomas Matheri Jul 26, 2018
Napongeza kazi yenu nzuri,ambayo husaidia walimu wengi tu kufunza nyimbo za dini kwa mujibu wa nota *original* za watunzi na pia kuelewa mpangilio(chord movement) za nyimbo tunazozienzi. Naomba muongeze "mfahamu mtunzi",pawe na "bio",pengine pia picha za watunzi hao.

Thomas Matheri Jul 26, 2018
Napongeza Kali yen nzuri,ambayo husaidia walimu wengi tu kufunza nyimbo za dini kwa mujibu wa nota *original* za watunzi na pia kuelewa mpangilio(chord movement) za nyimbo tunazozienzi. Naomba muongeze "mfahamu mtunzi",pawe na "bio",pengine pia picha za watunzi hao.

Erasto Gaudence Feb 16, 2017
safi sana kumsifu Bwana

May 07, 2016
Pongezi kwa kuuweka humu huu wimbo, lakini Nimegundua kuna dosari sauti ya pili, kwenye maneno HUKAA NDANI YANGU, NAMI HUKAA NDANI YAKE, noti hizo hazifanani na original copy ya mtunzi mwenyewe. Nestor Rutabanzibwa, Organist.

Toa Maoni yako hapa