Ingia / Jisajili

Hii Ni Ekaristi

Mtunzi: Hajulikani
> Tazama Nyimbo nyingine za Hajulikani

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Juma Kuu

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 14,003 | Umetazamwa mara 23,505

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1. Hii ni Ekaristi aliyotuachia Bwana Yesu Kristu Mkombozi wa dunia.

Imbeni, Imbeni kwa furaha, Sifuni, Sifuni Ekaristi, Alimo Yesu Kristu, Kristu, Alimo ni mzima x 2

2. Yesu katuonea wema wake huruma alitupenda sana, sana, katupa na uzima


Maoni - Toa Maoni

Sweetbert Anselimus Oct 07, 2017
Naupenda sana,nautafuta sana naomba niupate au hata instrument tu nitashukuru sana

Boni Kimario May 29, 2016
Wimbo Uko Vizur Kwa Anaye Ujua,lakin Uwe Na Mistari Yake Yote Amina

TAIRO May 28, 2016
nyimbo nzuri sana.............mungu awabariki sana

Toa Maoni yako hapa