Ingia / Jisajili

Aleluya Mshukuruni Bwana

Mtunzi: Valentine Ndege
> Mfahamu Zaidi Valentine Ndege
> Tazama Nyimbo nyingine za Valentine Ndege

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Valentine Ndege

Umepakuliwa mara 680 | Umetazamwa mara 2,019

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Aleluya (Aleluya) Aleluya Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema x2 Kwa maana (kwa maana) fadhili zake ni za milele ni za milele, maana fadhili zake ni za milele x2

1. Israeli aseme aseme sasa ya kwamba fadhili zake ni za milele

2. Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa, mkono wa kuume wa Bwana umetenda makuu, sitakufa sitakufa, bali nitaishi nami nitayasimulia matendo ya Bwana

3. Jiwe walilolikataa kataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni, neno hili limetoka toka kwa Bwana, nalo ni ajabu machoni petu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa