Ingia / Jisajili

Alfajiri Ya Kupendeza

Mtunzi: Joseph C. Shomaly
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph C. Shomaly

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo | Mwanzo | Shukrani

Umepakiwa na: Martin Munywoki

Umepakuliwa mara 23,468 | Umetazamwa mara 34,825

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Alfajiri ya Kupendeza

Alfajiri ya kupendeza, ni siku njema siku yenye baraka

Jua limekwishachomoza, laamsha wote waliolala

Ndege nao wanalialia kumshukuru Muumba

            (Njooni)

             {Njooni baba mama na watoto

            Njoni wote mbele za Bwana

    Tumtolee shukrani zetu, kwa kutoa sadaka } *2

1.  Ndege wanamshukuru, kwa sauti za kupendeza

Na sisi tumshukuru, kwa zawadi alizotupa (Njooni)

2.  Wanyama pia na mimea, vyote vimeumbwa na Mungu

Vitu vyote vya  duniani, vyapaswa kumshukuru Mungu

3.  Aliumba dunia hii, kaweka giza pia mwanga

Mchana tufanyeni kazi, usiku na tupumzike (Njooni)

 

Alfajiri ya Kupendeza

Alfajiri ya kupendeza, ni siku njema siku yenye baraka

Jua limekwishachomoza, laamsha wote waliolala

Ndege nao wanalialia kumshukuru Muumba

            (Njooni)      {Njooni baba mama na watoto

            Njoni wote mbele za Bwana

    Tumtolee shukrani zetu, kwa kutoa sadaka } *2

1.  Ndege wanamshukuru, kwa sauti za kupendeza

Na sisi tumshukuru, kwa zawadi alizotupa (Njooni)

2.  Wanyama pia na mimea, vyote vimeumbwa na Mungu

Vitu vyote vya  duniani, vyapaswa kumshukuru Mungu

3.  Aliumba dunia hii, kaweka giza pia mwanga

Mchana tufanyeni kazi, usiku na tupumzike (Njooni)

 


Maoni - Toa Maoni

0720714725 Apr 21, 2019
Je ?mnano hymnal ya wimbo huu zawadi tosha

Moses Apr 21, 2019
Do have the hymnal .org of the song

Rwezahurabarthazary Dec 27, 2017
Napongeza mahudhui ya wimbo yako vizuri.

Gaspar Gafumbe Sep 02, 2017
Naupenda sana huyu wimbo na Mungu hunibariki sana kila nikiuskiza.

vicent alphonce Aug 14, 2017
mwalimu asante sana mungu akubariki kwan huu wimbo nimeupenda sana sina cha kukulipa zaidi ya kukuombea kwa mungu azidi kukubariki pamoja na kazi unayoifanya asubuhi njema mtumishi

stanslaus kimpanti Jul 18, 2016
Nampongeza mtunzi, nimejifunza kitu katika tungo hiyo.

Benson Mose Jun 02, 2016
mtunzi yuko sawa kabisa, natamani kuimba naye

Toa Maoni yako hapa