Ingia / Jisajili

Amani Tanzania

Mtunzi: Abudu Siprian Francis Bugwayo
> Mfahamu Zaidi Abudu Siprian Francis Bugwayo
> Tazama Nyimbo nyingine za Abudu Siprian Francis Bugwayo

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Venance Nkolabigawa

Umepakuliwa mara 552 | Umetazamwa mara 1,316

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

AMANI TANZANIA

1. Mungu Baba twakuomba, Ututazame watanzania, sisi wana wako tunakulilia x2

      Kiitikio: Tuepushe na machafuko, tusitende matendo maovu, tuimalishe kiimani sote tujenge taifa letu x2

                  Ee Mwenyezi Mungu Baba tunakulilia twaomba amani idumu (idumu) {miongoni mwa watanzania x2}

2.Mungu Baba twakuomba, uondoe chuki za udini, sisi wanawako tunakulilia x2

3. Mungu Baba twakuomba, uwaimarishe viongozi, waweze kutenda haki kwa  kila mmoja x2

5. Mungu Baba twakuomba, uondoe chuki za ukabila, sisi wana wako tunakulilia x2

4. Mungu Baba twakuomba uondoe chuki za siasa sisi wana wako tunakulilia x2


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa