Ingia / Jisajili

Amefufuka Alivyosema

Mtunzi: John Keneddy Kizza
> Mfahamu Zaidi John Keneddy Kizza
> Tazama Nyimbo nyingine za John Keneddy Kizza

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: Keneddy Kizza

Umepakuliwa mara 707 | Umetazamwa mara 1,830

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Na tuimbe wote aleluya, amefufuka alivyosema, Bwana wetu kweli ni mzima, Aleluya Aleluya X2
(Leo tumshangili, Bwana ni Mwokozi Kristu mshindi wa mauti, Aleluya, Aleluya Aleluya Aleluya)X2

1.Ameshinda mauti ameacha kaburi wazi, tangazeni kwa watu wote, Kristu Mwokozi amefufuka.

2. Ametoka kuzimu na utukufu wa ajab, ni mshindi wa mauti, anaishi milele yote

3. Wokovu tumepata, Kristu ametutangulia, kwake Baba wetu mbinguni, tutaishi naye milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa