Ingia / Jisajili

Ataniita

Mtunzi: Joseph D. Mkomagu
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph D. Mkomagu

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Vusile Silonda

Umepakuliwa mara 4,010 | Umetazamwa mara 8,495

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Ataniita nami nitamwitikia, nitamwokoa nakumtukuza x 2

Mashairi

1. (Soprano): Nitakuwa pamoja naye taabuni, kwa siku nyingi nitamshibisha

2. (Tenor): Kwa kuwa amekaza kunipenda, nitamwokoa na kumweka palipo juu.

3. (Alto): Nitasema Bwana ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


Maoni - Toa Maoni

Norbeth Feb 27, 2017
Pongezi Kwa Kazi Nzuri

Norbeth Feb 27, 2017
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu

Toa Maoni yako hapa