Ingia / Jisajili

Bwana Amejaa Huruma

Mtunzi: Seraphin T.m.kimario
> Tazama Nyimbo nyingine za Seraphin T.m.kimario

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Joseph Rumanyika

Umepakuliwa mara 510 | Umetazamwa mara 1,741

Download Nota
Maneno ya wimbo
  • Kiitikio
  • Bwana amejaa huruma na neema x2

  • Maimbilizi
    • 1. Ee nafsi yangu umhimidi Bwana, naam byote vilivyo ndani yangu (mimi)
  •      vilihimidi hina lake takatifu

  • 2. Ee nafsi yangu umhimidi Bwana, wala usizisahau fadhili zake (zote) 
  •     usizisahau fadhili zake zote

  • 3. Akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa magonjwa yako yote
  •     Aukomboa uhai wako na kaburi, akutia taji ya fadhili na rehema.

  • 4. Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki, na hukumu kwa wote wanaoonewa
  •      Alimjulisha Musa njia zake, wana wa Israel matendo yao.

  • 5. Bwana amekaa huruma na neema, haoni hasira upesi ni mwingi wa fadhili
  •     maana mbingu zilivyo juu ya nchi, na rehema zake ni kuu kwa wamchao

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa