Ingia / Jisajili

Bwana Anatualika Sote

Mtunzi: Constantine A Ntanguligwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Constantine A Ntanguligwa

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Constantine Ntanguligwa

Umepakuliwa mara 924 | Umetazamwa mara 2,968

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiit; Bwana Yesu Kristu,bwana wa mabwana,anatualika sote wenye mioyo safi,tujongee meza yake meza ya bwana. (Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu,hukaa ndani yangu nami ndani yake, anauzima wa milele asema bwana x2)

Mashairi;

1.Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu,anauzima wa milele asema bwana.

2.Yesu toa hofu yangu,bwana kaa ndani yangu,kaa katika moyo wangu milele bwana.

3.Bwana ndiye chakula cha uzima wa milele,tule chakula hiki ndipo tukampokee.

4.Bwana anatualika sote tukampokee,muwe na nyoyo safi ndipo mkampokee.

5.Twende hima hima twende,tukaule mwili wake,una uzima wa milele,wa milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa