Ingia / Jisajili

Bwana Asema Mawazo

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 1,372 | Umetazamwa mara 4,551

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana Asema mawazo

Bwana Ase-ma; Mawazo ninayo wawazia ninyi, ni mawazo ya Amani, wala si ya mabaya x2.

Mashairi

1. Nanyi mtaniita, nami nitawasikiliza, nami nitawasikiliza, nami nitawasikiliza; nitawasikiliza.

2. Nitawarudisheni, nami nitawarudisheni, kutoka ma - hali pote, watu wenu waliofungwa; watu waliofungwa.

3. Mawazo -  ya Bwana, nimawazo ya A- mani, nimawazo - ya Amani, nimawazo - ya Amani; wala si ya mabaya


Maoni - Toa Maoni

mhoja msafiri Nov 19, 2017
Pongeza wimbo mzuri nitaipataje DVD yake.

Toa Maoni yako hapa