Ingia / Jisajili

Bwana Asema Mimi Ni Wokovu

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 746 | Umetazamwa mara 2,633

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 25 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA ASEMA MIMI  NI WOKOVU

Bwana  asema Bwana   asema  Bwana asema Bwana  asema,

mimi mimi mimi mimi mi  -  mi  -    niwokovu wa watu x2.

1.Wakinililia katika  taabu yoyote, nitawa - sikiliza milele.
2. Nami  nami nitakuwa Bwana Bwana -  wao, nitakuwa Bwana  wao milele.
3. Mimi ndimi  wo - kovu wokovu wa - watu, mi - mi- niwokovu wa watu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa