Ingia / Jisajili

Bwana Atanikaribisha Kwake

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 466 | Umetazamwa mara 2,147

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Baba yangu na Mama yangu wameniacha, mimi, bali Bwana atanikaribisha kwake, bali Bwana atanikaribisha kwake x2.

Mashairi:

1. Ee Bwana usikie kwa sauti yangu ninalia, unifadhili unijibu.

2. Ee Bwana unifundishe unifundishe njia yako, na kuniongoza katika njia iliyonyooka.

3. Usinitie katika nia ya watesi wangu, maana mashaidi wa uongo wameniondokea.

4. Naamini yakuwa nitauona wema wako, katika nchi ya walio hai.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa