Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Anayenisaidia

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 1,008 | Umetazamwa mara 3,307

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Tazama tazama, Mungu ndiye anayenisaidia, Bwana ndiye anayeitegemeza nafsi yangu x 2.

Mashairi:

1. Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu, Ee Bwana nitalishukuru jina lako maana ni jema.

2. Ee Mungu Ee Mungu uyasikie maombi yangu, uyasikilize maneno maneno ya kinywa changu.

3. Ee Mungu Ee Mungu uisikilize sala yangu, wala usijifiche nikuombapo nikuombapo rehema.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa