Ingia / Jisajili

BWANA NDIYE FUNGU LA POSHO LANGU

Mtunzi: Thomasmaotsetung
> Mfahamu Zaidi Thomasmaotsetung
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomasmaotsetung

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomasmaotsetung Mathias

Umepakuliwa mara 835 | Umetazamwa mara 2,058

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

BWANA NDIYE FUNGU LA POSHO LANGU

Bwana ndiye fungu la posho langu, nala kikombe changu,X2

 wewe ndiwe unaishika kura yangu.X2

1.     Kamba yangu imeniangukia mahali pema

naam, nimepata urithi mzuri, urithi mzuri

2.     Nitamhimidi Bwana aliyenipa, nipa shauri

naam, mtima wangu umenifundisha fundisha usiku.

3.     Nimemweka Bwana mbele yangu, yangu daima

Kwa kuwa yuko kuumeni kwa ngu, sitaondoshwa.

4.     Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, unafurahi

Naam, mwili wangu nao utakaa, kwa kutumaini

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa