Ingia / Jisajili

Bwana Ni Hakimu

Mtunzi: Benjamin J.mwakalukwa
> Mfahamu Zaidi Benjamin J.mwakalukwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Benjamin J.mwakalukwa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Benjamin JMwakalukwa

Umepakuliwa mara 283 | Umetazamwa mara 1,532

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio.

Ee bwana wewe ndiwe hakimu wa haki ,hukumu zako hukumu ni za adili hunihuisha nafsi na kuniongoza katika njia za haki kwa jina lake

1.Bwana ni mwenye rehema na haki na jina lake ni takatifu.

2.Bwana ni mwenye huruma ya haki na jina lake ni takatifu

3.Bwana ni mwenye baraka za kweli jina lake ndio uzima.

4.Bwana ni mwenye furaha ya kweli na jina lake ni takatifu.

5.Bwana ni mwenye upendo wa kweli na jina lake faraja kwetu.

6.Bwana ni mwenye msamaha wa kweli na jina lake neema kwetu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa