Ingia / Jisajili

Bwana Yote Uliyotutendea

Mtunzi: Michael Matai
> Mfahamu Zaidi Michael Matai
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Matai

Makundi Nyimbo: Mwanzo

Umepakiwa na: Michael Matai

Umepakuliwa mara 690 | Umetazamwa mara 2,541

Download Nota
Maneno ya wimbo

Ee Bwana yote uliyotutendea, Bwana umeyatenda umeyatenda kwa haki, Kwakuwa sisi tumetenda dhambi, wala hatukuzitii amri zako//

Ulitukuze jina lako, nakututendea sawasawa, nakututendea sawasawa na wingi wa huruma huruma zako.

1. Utuokoe kwa kadiri ya maajabu yako, Nakulitukuza jina lako milele.

2. Waaibishwe wawaudhio watumishi wako na wafedheheke katika nguvu zao.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa