Ingia / Jisajili

David's Ave Maria

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mama Maria

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 2,800 | Umetazamwa mara 8,241

Download Nota
Maneno ya wimbo

1. Salamu Mama twakusalimu, pokea zetu hizi salamu,sisi wanao twakusalimu;salamu mama Ee mama yetu(salamu)

Chorus: Salamu mama(Maria) twakusalimu; Salamu, salamu mama Maria, sisi wanao tunakusalimu

2.Ewe Bikira Mstajabivu,uliye mama wa Mkombozi, mama mpendelevu(mama) wa shauri jema, mama usiye na dhambi(Ee mama) mzazi Mtakatifu(wa Mungu) usiye na doa.... Chorus

3. Bikira mwenye heshima, Bikira mwenye utaratibu, kioo cha haki, sababu ya furaha yetu, chombo cha neema, chombo bora cha ibada (na tena) chombo cha hekima(waridi0 waridi lenye fumbo...Chorus


Maoni - Toa Maoni

Peter Sambala Jun 28, 2021
Wekeni na midi yake

Toa Maoni yako hapa