Ingia / Jisajili

Ee Baba Mikononi mwako

Mtunzi: Thomas P. Bingi
> Mfahamu Zaidi Thomas P. Bingi
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas P. Bingi

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: Thomas Bingi

Umepakuliwa mara 385 | Umetazamwa mara 1,412

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee baba mikononi mwakoni mwako naiweka roho yangu, naiweka roho yangu.

 Mashairi

1.Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike mile-le/ kwa haki yako uniponye uniokoe.

2.Kwa sababu yao watesi wangu nimekuwa lau-mu/ kwao jirani zangu na kitisho kwa marafiki.

3.Nimesahauliwa kama mfu/ nimekuwa kama chombo kilichovunji-ka, hofu za nizunguka kote.

4.Lakini akutumaini Bwana/ nimesema ndiwe Mungu wa-ngu, uniponye na adui wanifuatao.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa