Mtunzi: E. Kalluh
> Tazama Nyimbo nyingine za E. Kalluh
Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Kwaresma
Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata
Umepakuliwa mara 1,886 | Umetazamwa mara 3,998
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Ijumaa Kuu
Nimekukimbilia we Bwana nisiaibike milele ee Baba mikononi mwako naiweka roho yangu
1. Umenikomboa ee Bwana Mungu wa kweli/ Ee Baba mikononi mwako naiweka roho yangu.
2. Kwa sababu ya watesi wangu nimekuwa laumu/ Naam hasa kwa jirani zangu.
3. Na kitu cha kutisha kwa rafiki zangu/ walioniona njiani walinikimbia.
4. Nimesahauliwa kama mfu asiyekumbukwa/ Nimekuwa kama chombo kilichovunjika.
5. Maana nimesikia masingizio ya wengi/ Hofu ziko pande zote.
6. Lakini mimi nakutumaini wewe Bwana/ Nimesema, wewe ndiwe Mungu wangu.
7. Nyakati zangu zimo mikononi mwako/ Uniponye na adui zangu,nao wanaonifuatia