Ingia / Jisajili

Ee Baba Mikononi Mwako

Mtunzi: Patrick Konkothewa
> Mfahamu Zaidi Patrick Konkothewa
> Tazama Nyimbo nyingine za Patrick Konkothewa

Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Kwaresma

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,318 | Umetazamwa mara 3,800

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

IJUMAA KUU (KATIKATI)

BY: PATRICK KONKOTHEWA

 AIRPORT PARISH

 DODOMA

 16 JANUARY, 2010

Ee Baba mikononi mwako naiweka Roho yangu naiweka Roho yangu x 2

1. Nimekukimbilia wewe Bwana, nisiaibike milele, kwa haki yako uniponye

2. Kwasababu ya watesi wangu, nimekuwa laumu naam hasa kwa jirani, jirani zangu

3. Nimesahauliwa kama mfu, asiyekuumbukwa nimekuwa kama chombo kilichovunjika


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa