Ingia / Jisajili

Ee Bwana Fadhili Zako

Mtunzi: Bategereza
> Tazama Nyimbo nyingine za Bategereza

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,940 | Umetazamwa mara 4,611

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana fadhili zako/ fadhili zako ni za milele usiziache kazi za mikono yako x 2.

Mashairi:

1. Nitakushukuru kwa moyo wangu wote mbele ya miungu  nitakuimbia zaburi/ Nitasujudu nikilikabili hekalu lako hekalu takatifu x 2.

2. Nitalishukuru jina jina lako kwa ajili ya fadhili na uaminifu wako/ Kwa maana umeikuza ahadi yako kuliko jina lako.

3. Ingawa Bwana yuko juu lakini ana mwona  mnyenyekevu/ Naye amjua mwenye kujivuna mwenye kujivuna tokea mbali x 2.


Maoni - Toa Maoni

patrick nkana Aug 28, 2017
Pongeza

Andrew Kayombo Aug 28, 2017
Nampongeza kwa kuandika wimbo mzuri Bategereza amejitahidi Sana.

Toa Maoni yako hapa