Ingia / Jisajili

Ee Bwana Ndiwe Mwenye Haki

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 996 | Umetazamwa mara 3,555

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 23 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee BWANA WEWE NDIWE MWENYEHAKI

Ee Bwa - na Bwana wewe ndiwe  mwenyehaki x2

na hukumu,  nahukumu zako nahukumu zako niza  a-dili. x2

1. Na kama zilivyo , Rehema -  zako , Na kama zilivyo Rehema  -  za ko. u  m   te  - nde  e   m  tu  mi shi wa ko mtumishi  wa ko
2. Umeagizia , shuhuda  - zako, na  kwayote  haki  kwa uamini  fu, kwau  a  mi  ni fu,  kwa u  a  mi  ni  fu  uaminifu mwingi.
3. Mimi  ni m - dogo,  nadhara u li wa, na lakini  kamwe    si ta ya sa ha   u, ma u  si   a  ya ko  ma   u sia ya ko   ma u sia  ya  ko.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa