Ingia / Jisajili

Ee Bwana Uilinde Nafsi Yangu

Mtunzi: Florian P. Ndwata
> Mfahamu Zaidi Florian P. Ndwata
> Tazama Nyimbo nyingine za Florian P. Ndwata

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,509 | Umetazamwa mara 3,401

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana uilinde nafsi yangu katika amani yako x 2.
Mashairi:

1 (a) Bwana moyo wangu hauna kiburi, wala macho yangu hayainuki

1 (b) Wala sijishughulishi na mambo makuu

1 (b) Wala mambo yashindayo nguvu zangu.

2 (a) Hakika nimeituliza nafsi yangu na kuinyamazisha

2 (b) Kama mtoto aliye achishwa kifuani mwa mamaye.

3 Ee Israeli umtumainie Bwana tangu leo na hata milele


Maoni - Toa Maoni

france peter Oct 30, 2017
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu

Toa Maoni yako hapa