Ingia / Jisajili

Ee Bwana Unifadhili

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 851 | Umetazamwa mara 2,725

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana Unifadhili ee Bwana unifadhili, kwa maana nakukililia wewe mchana kutwa x 2.

Mashairi:

1. Uifurahishe nafsi ya mtumishi wako maana nafsi yangu nakuinulia wewe Bwana.

2. Kwa maana wewe Bwana, umwema umekuwa tayari kusamehe na mwingi wa fadhili kwa wote wakuitao.

3. Ee Bwana uyasikie maombi yangu, uisikilize sauti ya dua zangu.

4. Siku ya mateso yangu nitakuita wewe, kwa maana Bwana utaniitikia.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa