Ingia / Jisajili

Furahini Katika Bwana

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 4,528 | Umetazamwa mara 9,889

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Furahini katika Bwana, furahini katika Bwana (x 2).Tena nasema furahini, tena nasema furahini, tena nasema furahini Bwana Yu karibu.

Mashairi:

1. Tazameni Bwana anakuja kutukomboa utumwani, atakuja kutukomboa kutoka utumwani mwa dhambi.

2. Sikieni sauti ya mtu itokayo nyikani, yanyoosheni mapito yake, yanyoonsheni mapito yake.


Maoni - Toa Maoni

Felix mugabo Dec 09, 2016
Imani Vil Bila matendo imekufa

Toa Maoni yako hapa