Ingia / Jisajili

Heri Kila Mtu Amchaye Bwana

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 5,035 | Umetazamwa mara 11,057

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Heri Kila mtu amchaye Bwana aendaye katika njia zake

Mashairi:

1.Taabu ya mikono yako hakika utaila utakuwa heri na kwako kwema.

2. Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao vyumbani mwa nyumba vyumbani mwa nyumba yako, wanao kama miche, miche ya mizeituni wakiizunguka nyumba yako.

3.Tazama tazama utabarikiwa hivyo, yule amchaye, amchaye bwana

4. Naam ukawaone, ukawaone wana wa wanao, ukawaone wana, wana wa wanao, amani amani ikae ikae na Israeli, Amani ikae na Israeli ikae na Israeli.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa