Ingia / Jisajili

Hii Ndiyo Siku Aliyoifanya Bwana

Mtunzi: Alcado Z . Mtanduzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Alcado Z . Mtanduzi

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 3,753 | Umetazamwa mara 9,910

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana tuishangilie na tuimbe aleluya aleluya x 2.

Mashairi:

1 (a) Msukuruni Bwana kwakuwa ni mwema kwa maana fadhili zake ni za milele

     (b) Israeli naye na aseme sasa ya kwamba na fadhili zake ni za milele

2 (a) Mkono wa kuume mkono wake Bwana umetukuzwa na pia utenda makuu

    (b) Sitakufa mimi bali nitaishi nitayasimulia matendo yake Bwana

3 (a) Neno hili kweli latoka kwa Bwana nalo ni la ajabu ajabu machoni petu.

    (b) Jiwe walilolikataa waasi limekuwa ndilo jiwe kuu la pembeni.


Maoni - Toa Maoni

Emmanuel Romanus Mar 28, 2021
Wimbo mzuri aksante sana

Toa Maoni yako hapa