Ingia / Jisajili

Huruma Ya Mungu

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwaka wa Huruma ya Mungu

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 3,058 | Umetazamwa mara 10,932

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Huruma yake Mungu Mwenyezi ni ya milele, huruma yake Mungu Mwenyezi ni ya milele (x2). Mungu wetu ni mwenye huruma, Mungu wetu ni mwenye upendo, huruma yake haibagui wema wala waovu.

Mashairi:

1. Ee Bwana Yesu Kristo ulitufundisha kuwa wenye huruma kama Baba wa Mbinguni.

2.Utuwezeshe sisi wana wako tutambue upendo na huruma yako.

3.Kwa maombezi ya mama Bikira Maria aliye mama wa huruma tuweze kuwa wenye huruma.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa