Ingia / Jisajili

Kama Moshi Wa Ubani

Mtunzi: Benny Weisiko John
> Mfahamu Zaidi Benny Weisiko John
> Tazama Nyimbo nyingine za Benny Weisiko John

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo | Misa

Umepakiwa na: Benny Weisiko

Umepakuliwa mara 2,765 | Umetazamwa mara 7,905

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Kama moshi wa ubani unavyopaa, Altareni ndivyo na sala zetu zipae kwako Ee Mungu. X2

SHAIRI

1. Sadaka twaleta ya mkate na divai, twakuomba Mungu uzipokee.

2. Nyimbo nazo sala tunazokutolea, twakuomba Mungu uzipokee.

3. Nazo dhmbi zetu na udhaifu wetu, uzifute kwa sadaka hii.


Maoni - Toa Maoni

Douglas Kulecho Buchunju Nov 27, 2018
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu poa sana

Isack Siame Oct 18, 2016
Wimbo unaenda kwa kipimio gani na funguo ipi

Toa Maoni yako hapa