Ingia / Jisajili

Kama Vile Meriba

Mtunzi: David Ihiwi
> Tazama Nyimbo nyingine za David Ihiwi

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: polycarp kindole

Umepakuliwa mara 534 | Umetazamwa mara 2,557

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kama vile huko Meriba siku ya Masa jangwani, hapo waliponijaribu baba zenu wakanipima wakayaona matendo yangu.

1. Miaka arobaini, nalihuzunika na kizazi kile, nikasema hao ni watu waliopotoka.

2. Hawakuzijua njia, hawakuzijua njia zangu, nikaapa kwa hasira wasiingie kwangu.

3. Ingekuwa heri leo, leo msikie sauti ya Bwana, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa