Ingia / Jisajili

Karibuni Kwenye Karamu

Mtunzi: Aljeno Elijus Temibara Ngogo
> Mfahamu Zaidi Aljeno Elijus Temibara Ngogo
> Tazama Nyimbo nyingine za Aljeno Elijus Temibara Ngogo

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: aljeno elijus

Umepakuliwa mara 465 | Umetazamwa mara 2,177

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

(Enyi wateule wake Bwana karibuni karamuni,Bwana ametuandalia heri wenye moyo safi.) x 2

(Ni mwili wake na damu yake kwa wokovu wetu x2 jongeeni) x 2

Viimbilizi:

1.Mwili na damu yake amana ya upendo, kuleni, kunyweni nyote muishi milele

2. Ndiyi karamu ya heri na tumaini jema, waheri ninyi mlioalikwa na Bwana

3. Ndicho chakula bora cha kushibisha roho zetu,kuleni, kunyweni nyote mkaokolewe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa