Ingia / Jisajili

Kwaheri Ndugu

Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa

Makundi Nyimbo: Mazishi

Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA

Umepakuliwa mara 1,874 | Umetazamwa mara 5,011

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

AUGUSTINE RUTTA 2010.

DSM.

1.     Kwaherinii ndugu zangu mimi nakwenda nyumbani, nyumbani kwenye makao ya milele (milele) nikapumzike

2.     Majonzi na mahangaiko leo sasa vimekwisha(kuisha), Nimekwenda kwa Baba yangu ( Alto & Bass: baba baba yangu) u u paradizooni

3.     Tutaonana m-binguni kwa kuwa kuna makao (makao), Nitawaombea Mungu (Alto & Bass: Mungu Mungu) nanyi mkafike 

4.     Niliwapenda sana ndugu lakini Mungu kapenda(kapenda), niombeeni kwake Mungu wetu(Alto & Bass: Mungu Mungu ) raha ya milele

5.     Kesheni kila wakati kwan hamjui wakati (wakati) atakapokuja Yesu (Alto & Bass: Yesu Yesu kuwa) kuwahukumu watu   


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa