Ingia / Jisajili

Kwaresma Ni Nini?

Mtunzi: A. Ntiruhungwa
> Tazama Nyimbo nyingine za A. Ntiruhungwa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,625 | Umetazamwa mara 4,733

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Karibu kwaresma kipindi cha kufunga na kusali na kuomba toba x 2:

Mashairi;

1. Tubuni na kuiamini Injili kwani tuwadhambi naye Bwana atatusamehe.

2. Tumrudie Bwana Mungu wetu tufunge tusali tuirarue mioyo yetu.

3. Mungu wetu ni mwenye huruma nyingi yeye si mwepesi wa hasira.

4. Bwana amejaa huruma na neema tumgeukie naye Bwana atatusamehe.


Maoni - Toa Maoni

RUGABA Pascal Jan 11, 2019
Asante kwa wimbo mzuri

Toa Maoni yako hapa