Ingia / Jisajili

Mawazo Ninayowawazia Ninyi

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,819 | Umetazamwa mara 4,925

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Mawazo ninayowawazia ninyi ni mawazo ya amani, ni mawazo ya amani wala si mabaya(x2). Nanyi mtaniita nami nitawasikiliza, nami nitawarudisha kutoka mahali pote, watu wenu waliofungwa, watu waliofungwa.

Mashairi:

1. Nami nitawapa moyo, nami nitawapa moyo, wanijue ya kuwa mimi ni bwana, nao watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao kwa maana watanirudia kwa moyo wao wote

2.Mtafuteni bwana maadamu anapatikana, mwiteni maadamu yu karibu, mtu mbaya na aache hila zake na mtu asiye haki aache mawazo yake.

3.Ombeni nanyi mtapata, tafuteni nanyi mtaona, bisheni nanyi mtafunguliwa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa