Ingia / Jisajili

Bwana Asema: Mimi Ni Wokovu Wa Watu

Mtunzi: Joseph Rimisho
> Mfahamu Zaidi Joseph Rimisho
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Rimisho

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: JOSEPH RIMISHO

Umepakuliwa mara 2,119 | Umetazamwa mara 5,878

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 25 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Bwana asema mimi ni wokovu, wokovu wa watux 2 
Wakinililia katika taabu yoyote nitawasikiliza, nami nitakuwa Bwana wao milele.

Mashairi

1. Nitasema Bwana ndiye kimbilio langu, na ngome yangu Mungu wangu nitakaye mtumaini.

2. Kwa kuwa Bwana ni mkuu sana, mwenye kusifiwa na wa kuhofiwa kuliko miungu yote.

3. Kwa maana Bwana Mungu wetu ndiye Mtakatifu, ametukuka juu ya miungu miungu yote.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa