Ingia / Jisajili

Mt. Bakhita Utuombee

Mtunzi: Emmanuel Daniel Mutura
> Tazama Nyimbo nyingine za Emmanuel Daniel Mutura

Makundi Nyimbo: Watakatifu

Umepakiwa na: Emmanuel Daniel Mutura

Umepakuliwa mara 507 | Umetazamwa mara 2,324

Download Nota
Maneno ya wimbo

KIITIKIO:

Mtakatifu Bakhita somo wetu na msimamizi wetu, utuombee katika utume wetu huu.  X 2

MASHAIRI:

1.( a) Tuidumishe Kwaya yetu kwa moyo wa Ibada,      (b) Tupate utakatifu kwa njia ya kuimba.

2. (a) Tufuate mfano wa-ko kwa matendo yetu mema, (b) Tuikiri Imani yetu bila kusitasita.

3. (a) Tuzipaze sauti ze-tu tumsifu Mungu wetu,             (b) Kwa vinanda na baragumu tumsifu Mungu wetu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa