Ingia / Jisajili

Mungu Na Atufadhili

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 3,764 | Umetazamwa mara 8,237

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Mungu na atufadhili na kutubariki na kutuangazia uso wake. Njia yake ijulikane duniani pote wokove wake katikati ya mataifa yote.

Mashairi:

1. Mataifa na washangalie, na washangilie, naam waimbe kwa furaha, naam waimbe kwa furaha maana kwa haki atawahukumu watu, atawahukumu watu na kuwaongoza mataifa walioko duniani.

2. Nchi imejaa mazao yake Mungu, Mungu atatubariki, Mungu atatubariki, atatubariki sisi, miisho yote ya dunia itamcha yeye.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa