Ingia / Jisajili

Mwangaza Utokao Juu Umetufikia

Mtunzi: Poi Tobiasi Mkwalakwala
> Mfahamu Zaidi Poi Tobiasi Mkwalakwala
> Tazama Nyimbo nyingine za Poi Tobiasi Mkwalakwala

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Thobias Poi

Umepakuliwa mara 217 | Umetazamwa mara 1,205

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kwa njia ya Rehema za Mungu wetu, Mwangaza utokao juu umetufikia (k)

1. Kuwaangaza wakao katika giza na uvuli wa mauti, na kuiongoza miguu yao kwenye  njia ya Amani.

2. Tuokoe mikononi mwa adui zetu, na kumwabudu pasipo Hofu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa