Ingia / Jisajili

Najitoa Kwako

Mtunzi: Emil E Muganyizi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emil E Muganyizi

Makundi Nyimbo: Miito

Umepakiwa na: Emil Mwemezi

Umepakuliwa mara 422 | Umetazamwa mara 2,218

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1.(a) Yesu wangu najitoa kwako Ee Mwokozi wa-ngu, leo na milele.

   (b)Nijalie kukupenda wewe katika hizi si-ku za maisha yangu.

2. (a)Nipe Bwana uzima rohoni niishi na we-we leo na milele.

    (b) Nisamehe dhambi zangu zote nilizokute-nda wewe na jirani.

3. (a) Moyo wangu umekiri kwamba wewe ndiwe Bwana na Mwokozi wangu.

    (b) Nakuomba nipe ujasiri wa kulitanga-za jina lako Bwana.

4. (a) Nashukuru ewe Mungu wangu kwa uhai na nguvu nasema ahsante.

    (b) Sina Mimi cha- kukulipa zaidi ya kuitoa nafsi yangu kwako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa