Ingia / Jisajili

Nakiri

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,718 | Umetazamwa mara 7,012

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Nimeuona wema wa Mungu (x 2). Nimeushuhudia (mimi) maishani mwangu, na sasa ninakiri, nakiri kwenu nyote ya kwamba Mungu wetu ni mwema sana

Mashairi:

1.Nimeuona wema wa Mungu, nimeuonja wema wa Mungu, nimeushuhudia ukarimu wake, nimeyashuhudia matendo yake, leo nakiri kwamba Mungu wetu ni mwema

2.Nimeziona baraka zake, nimeuona ukarimu wake, nimeuonja upendo wake , nimeziona shuhuda zake, leo nakiri kwamba Mungu wetu ni mwema.

3. Nimejawa na furaha na amani tele, nimejawa upendo na matumaini, nina amani tele ndani ya Mungu wangu, ninafuraha kubwa isiyo kifani, leo nakiri kwamba Mungu wetu ni mwema.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa