Ingia / Jisajili

Nakushukuru Baba

Mtunzi: Abudu Siprian Francis Bugwayo
> Mfahamu Zaidi Abudu Siprian Francis Bugwayo
> Tazama Nyimbo nyingine za Abudu Siprian Francis Bugwayo

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Venance Nkolabigawa

Umepakuliwa mara 410 | Umetazamwa mara 1,382

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

NAKUSHUKURU BABA

Nakushukuru Bwana, Bwana wa Mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima (na akili) ukawafunulia watoto wachanga x2

Mashairi.

1. Nimekabidhiwa wote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye mwana ila Baba yangu

2. Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao, na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha

3. Jitieni nira yangu mjifunze kwangu, kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu na mnyenyekevu wa moyo.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa