Ingia / Jisajili

Nami Nimezitumainia Fadhili Zako (I)

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 541 | Umetazamwa mara 1,612

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nami nimezitumainia fadhili zako, Moyo wangu na ufurahie wokovu wako x 2.

Mashari:

1.Naam nimwimbie Bwana, kwakuwa amenitendea kwa ukarimu.

2. Ee Bwana hata lini utanishahu, hata milele utanificha uso wako.

3. Hata lini Bwana nifanye mashauri, nikihuzunika moyoni mchana kutwa.

4. Hata lini adui yangu atukuke juu yangu, Ee Bwana uangalie uniitikie.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa