Ingia / Jisajili

Nami Nimezitumainia Fadhili Zako (II)

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 342 | Umetazamwa mara 1,474

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nami nimezitumainia fadhili zako, Moyo wangu na ufurahie wokovu wako x 2.

Mashairi:

1. Naam nimwimbie Bwana nimwimbie kwakuwa amenitendea kwa ukarimu.

2. Ee Bwana hata lini utanisahau, Hata milele utanificha uso wako.

3. Hata lini Bwana nifanye mashauri nafsini mwangu, nikihuzunika moyoni mwangu mchana kutwa.

4. Bwana hata lini adui yangu atukuke juu yangu, Ee Bwana Mungu wangu uangalie uniitikie.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa