Ingia / Jisajili

Ndimi Mkate Wa Uzima

Mtunzi: James Makinda
> Mfahamu Zaidi James Makinda
> Tazama Nyimbo nyingine za James Makinda

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: James Makinda

Umepakuliwa mara 555 | Umetazamwa mara 2,576

Download Nota
Maneno ya wimbo

MKATE WA UZIMA

Mimi ndimi mkate wa uzima, Mimi ndimi mkate wa uzima x2

Chakula [chakula] kilicho-shuka toka mbinguni,

Mwili na Damuye uzima wa roho tujongee sote kwa karamu yake x2

1.Aulaye Mwili wangu na kuinywa Damu anao uzima.

2.Aonaye kiu na njaa Bwana ni kinywaji na pia chakula.

3.Ni karamu ya mapendano wateule wake Bwana awaalika.

4.Mpokee ukiwa safi kimwili kiroho Mwana wake Mungu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa