Ingia / Jisajili

Ni Nani Na Nani

Mtunzi: Maloba G_Clef
> Mfahamu Zaidi Maloba G_Clef
> Tazama Nyimbo nyingine za Maloba G_Clef

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Tenzi za Kiswahili

Umepakiwa na: Erasmus Wito

Umepakuliwa mara 995 | Umetazamwa mara 3,252

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ninasema ninasema nani aliye mwema, ninauliza mwanadamu nani asiye dhani, ninasema wanadamu sote sisi wadhambi. (Usimshurutishe mwenzako, usimtendee mabaya, kimshikia kinyongo milango yako itafungika *2) Nasema. 1. Mtendee mwenzako jina utakavyo kutendewa, mheshimu mwenzako naye atakuheshimu. 2. Wakumbuke wajane, watoto mayatima, watumikie wote nataka zikushukie. 3. Mtumikie Mungu, utapata neema, mpe Maisha yako, nawe utafirijika.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa