Ingia / Jisajili

NIJAPOSEMA KWA LUGHA

Mtunzi: Victor Murishiwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Victor Murishiwa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakuliwa mara 2,434 | Umetazamwa mara 6,281

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

 NIJAPOSEMA KWA LUGHA.

 Nijaposema kwa lugha, za wanadamu, Nijaposema kwa lugha za Malaika, kama sina upendo, (mimi) si kitu mimi, Kama sina upendo si kitu mimi.

Mashairi:

1.Hata nikitoa mali zangu, kwa masikini, kama sina upendo si kitu mimi.

2.Hata nijitoe mwili wangu, katika moto, kama sina upendo si kitu mimi.

3.Hata Imani yangu, ikiwa timilifu, kama sina upendo si kitu mimi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa