Ingia / Jisajili

Ninajongea Meza

Mtunzi: Lyimo Godfrey
> Mfahamu Zaidi Lyimo Godfrey
> Tazama Nyimbo nyingine za Lyimo Godfrey

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: KASULE JAMES

Umepakuliwa mara 323 | Umetazamwa mara 1,040

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ninajongea meza(ni) Bwana Yesu ni-shibi-she kwa
mwili (na) da-mu yako X2 (Yesu Kristu)

1. We-we ni chakula cha roho zetu Ee Yesu,
wewe ni chakula cha uzima wa- milele.

2. Tu-ulapo mwili na kunywa damu ya Yesu
twatangaza kifo nan a utukufu wa-Bwana.

3. Ee ndugu atuita twende mezani kwake,
tushibishwe roho na furaha ya mbinguni.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa