Ingia / Jisajili

Nitaenenda Mbele Za Bwana

Mtunzi: Wilhelm A. Kiwango (W. Kiwango)
> Mfahamu Zaidi Wilhelm A. Kiwango (W. Kiwango)
> Tazama Nyimbo nyingine za Wilhelm A. Kiwango (W. Kiwango)

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: Willy Kiwango

Umepakuliwa mara 1,238 | Umetazamwa mara 4,518

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Nitaenenda mbele za Bwana, nitaenenda mbele za Bwana katika nchi za walio hai x2

Viimbilizi

1. Naliamini kwa maana nitasema, mimi naliteswa sana naliteswa sana

2.Ina thamani machoni pa Bwana, mauti ya wacha Mungu ya wacha Mungu wake

3.Ee Bwana hakika mimi ni mtumishi wako, mtumishi wako mwana wa mjakazi wako

4.Umevifungua vifungo vyangu, nitakutolea dhabihu ya kushukuru na kulitangaza jina la Bwana


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa