Ingia / Jisajili

Nitamwimbia Bwana

Mtunzi: Valentine Ndege
> Mfahamu Zaidi Valentine Ndege
> Tazama Nyimbo nyingine za Valentine Ndege

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Valentine Ndege

Umepakuliwa mara 617 | Umetazamwa mara 1,934

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nitamwimbia Bwana nitamwimbia, kwa maana ametukuka sana x2

1. Bwana ni nguvu zangu na wimbo wangu, naye amekuwa wokovu wangu, yeye ni Mungu wangu nami nitamsifu, ni Mungu wa Baba yangu, nami nitamtukuza.

2. Bwana ni mtu wa vita ndilo jina lake, magari ya Farao na jeshi lake amewatupa amewatupa baharini, maakida yake wamezama katika bahari.

3. Bwana mkono wako wa kuume wawasetaseta adui, kwa wingi wa ukuu wako wawaangusha chini, wanao kuondokea wanao kuondokea.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa