Ingia / Jisajili

Nitatoa Nini? (Mema)

Mtunzi: Elijah M Kilonzi
> Mfahamu Zaidi Elijah M Kilonzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Elijah M Kilonzi

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo | Shukrani

Umepakiwa na: ELIJAH Mulei

Umepakuliwa mara 581 | Umetazamwa mara 1,942

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

        Mema ambayo Bwana umenitendea ni thimbitisho kweli wewe wanipenda 

        Nami nitatoa nini nikupe Ee Bwana, nitatoa nini kiweze kukupendeza?

1. Ndiwe uliyeniumba, uhai kanipa bure; Nami nitatoa nini kiweze kukupendeza?

2. Ndiwe unayenilisha pia kuninywesha; asante kwa ukarimu wako.

3. Ndiwe uliyemtoa mwanao aniokoe; sifa shukurani zangu Ee Bwana uzipokee.

Hitimisho:

            Bwana zipokee zangu shukurani zipokee; asante Bwana Mungu, asante Bwana



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa